MAONESHO YA 47 YA BIASHARA YA KIMATAIFA 2023
- News and Events
- Jul 04, 2023
- 220 Views
Wadau mbalimbali akiwemo Balozi wa Korea Kusini Mheshimiwa KIM SP, jopo la wanafunzi kutoka Tanzania Bara na Zanzibar waliotembelea banda la maonesho la APRM Tanzania katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam ikiwa ni maonesho ya 47 ya...
Uongozi wa APRM umekutana na Taasisi ya Sekta binafsi Tanzania(TPSF)
- News and Events
- Jul 04, 2023
- 194 Views
Uongozi mpya wa Taasisi ya mpango wa hiari wa Tathimini ya Utawala Bora Barani Afrika (APRM Tanzania) iliyopo chini ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki umetambulishwa rasmi kwa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania(TPSF).Zoezi...
WABOBEZI WAKUTANA KWA RIPOTI YA PILI YA APRM
- News and Events
- Jun 14, 2023
- 184 Views
Wabobezi katika masuala mbali mbali nchini (Technical Assessment Team) wameombwa kuwa tayari kuanza mchakato wa kufanya tathmini ya pili ya Utawala Bora Nchini ambapo itahusisha maeneo Demokrasia na Utawala wa Kisiasa, Usimamizi wa Uchumi, Utendaji...
Tanzania kuendelea kutoa mchango wake APRM
- News and Events
- Feb 04, 2022
- 206 Views
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania itaendelea kutoa mchango wake kwenye Mpango wa Nchi za Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) ili kuziwezesha nchi wanachama kujifunza kwake na yenyewe iweze kujifunza kutoka kwao.“Tutaendelea...
RIPOTI YA APRM YAING’ARISHA TANZANIA KIUTAWALA BORA
- News and Events
- Jul 19, 2017
- 216 Views
TANZANIA imetajwa kuwa moja ya nchi katika Bara la Afrika inayotekeleza kwa vitendo dhana ya utawala bora, demokrasia, amani na utulivu, hali inayochochea ustawi wa wananchi wake na katika Bara la Afrika kwa ujumla.Akizungumza wakati akizindua...



