BALOZI MBAROUK AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI
- News and Events
- May 27, 2024
- 182 Views
Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amefungua Mkutano wa Nne wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara unaofanyika jijini Arusha.Akifungua Mkutano huo, Mhe. Balozi Mbarouk amewasihi Watumishi wa Wizara...
Maonesho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2024
- News and Events
- Mar 06, 2024
- 228 Views
Maonesho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayofanyika katika viwanja vya Mashujaa jijini Dodoma yenye kauli mbiu inayosema “Wekeza kwa Wanawake kurahisisha Maendeleo y Taifa na Ustawim wa Jamii”
APRM Tanzania na UNDP zakamilisha utiaji saini wa Hati ya Makubaliano
- News and Events
- Mar 06, 2024
- 248 Views
Mhe. Shigeki Komatsubara Mwakilishi Mkazi wa Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP-Tanzania) amesema kuwa Taasisi ya Mpango wa hiyari wa kujitathmini kwa vigezo vya utawala bora (APRM Tanzania) ni miongoni mwa taasisi muhimu katika nchi...
Kikao kazi Baina ya Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Nje
- News and Events
- Feb 26, 2024
- 214 Views
Kikao kazi Baina ya Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk na Watendaji wa APRM Tanzania.
APRM Bara yapata Uongozi mpya.
- News and Events
- Feb 21, 2024
- 184 Views
APRM Tanzania tunapenda kutoa Pongezi na Hongera kwa Mhe. Balozi Marie-Antoinette Rose Quatre kwa kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa APRM Bara. Balozi Rose Quatre, Raia wa Seychelles, analeta uzoefu mkubwa kwa APRM, ikiwa ni pamoja na...
.jpeg)



.jpg)