Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo - Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki atembelea APRM Tanzania
- News and Events
- Aug 22, 2024
- 264 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe Balozi Mahmoud Thabit Kombo amefanya ziara ya kutembelea Taasisi zilizochini ya Wizara yake kwa lengo la kukutana na watendaji wake na kubadilishana mawazo katika masuala mbali mbali.
NAIBU WAZIRI WA UHUSIANO NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WA JAMHURI YA NAMIBIA UMEKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA UONGOZI WA APRM TANZANIA NA NAMIBIA
- News and Events
- Jun 26, 2024
- 212 Views
Mhe. Jennely Matundu, Naibu Waziri wa Uhusiano na Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Namibia amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa APRM Namibia na APRM Tanzania Ofisini kwake, Widhoek nchini Namibia.Mazungumzo hayo yalilenga katika...
UONGOZI WA APRM TANZANIA NA APRM NAMIBIA WAKUTANA KUBADILISHANA UZOEFU
- News and Events
- Jun 26, 2024
- 178 Views
Uongozi wa APRM Tanzania na APRM Namibia umekutana na kufanya mazungumzo katika kikao cha pamoja cha kubadilishana uzoefu kilichofanyika Widhoek nchini Namibia. Kikao hicho kilikuwa na lengo la kuangalia muundo wa Baraza la Usimamazi la Taifa...
WATUMISHI APRM Tanzania WAPATA MAFUNZO MAALUM YA ITIFAKI NA USTAARABU (Protocol and Etiquette)
- News and Events
- Jun 07, 2024
- 228 Views
Mafunzo maalum ya Itifaki na Ustaarabu (Protocol and Etiquette) yaliyoandaliwa kwa ushirikiano wa Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Dkt. Salim Ahmed Salim (CFR) na Taasisi ya Mpango wa Hiari wa kujitathmini kwa Vigezo vya Utawala Bora...
BAJETI WIZARA YA MAMBO YA NJE YAPITISHWA 100%
- News and Events
- May 28, 2024
- 204 Views
Bunge la Tanzania limepitisha kwa kishindo Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa kuidhinisha jumla ya TZS. 𝟮𝟰𝟭,𝟬𝟲𝟵,𝟮𝟯𝟮,𝟬𝟬𝟬/- ili kuweza...



