Bunge la Tanzania limepitisha kwa kishindo Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa kuidhinisha jumla ya TZS. 𝟮𝟰𝟭,𝟬𝟲𝟵,𝟮𝟯𝟮,𝟬𝟬𝟬/- ili kuweza kutekeleza malengo na vipaumbele iliyojiwekea kwa Mwaka huu wa Fedha 2024/2025.

Aidha kiasi cha TZS. 𝟮𝟮𝟵,𝟰𝟯𝟱,𝟴𝟱𝟲,𝟬𝟬𝟬/- ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na kiasi cha TZS. 𝟭𝟭,𝟲𝟯𝟯,𝟯𝟳𝟲,𝟬𝟬𝟬/- ni Bajeti ya Maendeleo.