Maonesho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2024
Mar 06, 2024
Maonesho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayofanyika katika viwanja vya Mashujaa jijini Dodoma yenye kauli mbiu inayosema “Wekeza kwa Wanawake kurahisisha Maendeleo y Taifa na Ustawim wa Jamii”